Tuesday, July 20, 2021

Andaa andalio la somo kwa urahisi (Teacher's Lesson plan)

 

SWALI: Chagua mada moja kisha kwa kuzingatia vipengele vyote vya andalio la somo, andaa andalio la somo litakalo tumika kufundishia vipindi viwili.


ANDALIO LA SOMO

Somo: .............................                                                     Jina la Mwalimu:  ..................................      

Tarehe

Darasa

Kipindi

Muda

Idadi ya wanafunzi


Waliosajiliwa

Waliopo

Wasiokuwepo

 

ME

KE

Jumla

ME

KE

Jumla

ME

KE

Jumla


 

Mada Kuu:

Mada Ndogo: 

Lengo kuu:     

Ujuzi     :    

Malengo Mahususi

b

Zana/ Vifaa vya kufundishia: 

Marejeleo:                    

 

HATUA ZA UFUNDISHAJI

HATUA

MUDA

KAZI YA MWALIMU

KAZI YA MWANAFUNZI

UPIMAJI

UTANGULIZI

DK 5

Kuwaongoza wanafunzi kujikumbusha kuhusu kipindi kilichopita kwa njia ya maswali na majibu.


.

MAARIFA MAPYA

Dk 35

Kuwaongoza wanafunzi kujadili aina za fasihi na utofauti baina ya fasihi simulizi na andishi.


.

KUIMARISHA MAARIFA

Dk 25

Mwalimu kutumia chati  mbalimbali za fasihi na kueleza kwa undani aina za fasihi.



TAFAKURI

DK 10

Kuwapa wanafunzi maswali ya kufanya kulingana na kile kilichofundishwa.



HITIMISHO

DK

05

Mwanafunzi kueleza kwa ufupi kuhusiana na kipindi kisha  kutoa zoezi kuhusiana na kipindi walichojifunza.



 

   Tathmini ya Mwalimu

   Maoni:

 

No comments:

Featured Post

 SOMA SIMULIZI ZENYE KUSISIMUA HAPA A. UTAJIRI WENYE UCHUNGU     UTAJIRI WENYE UCHUNGU-1     UTAJIRI WENYE UCHUNGU-2      UTAJIRI WENYE UCH...