KUSH: DAWA MPYA YA KULEVYA NCHINI SIERRA LEONE
Wakati
janga la madawa ya kulevya kama vile likiendelea katika nchi mbalimbali duniani.
Nchi ya Sierra Leone imegundua dawa mpya ya
haramu inayojulikana kwa jina la Kush ambayo huuzwa kwa bei nafuu, na hivyo
kupendwa na watu wengi nchini humo hususani ya vijana. Na inaripotiwa kuwa dawa
hii huenda ikawa na ukali zaidi ya dawa za kulevya kama vile heroin na cocein.
Ripoti
ya hospitali kutoka mji mkuu wa nchi hiyo Free town inasema kuwa “asilimia
tisini (90%) ya wanaume walilazwa katika hospitali hiyo wamekutwa na ugonjwa wa
akili kutokana na matumizi ya kush.
Jeshi
la polisi katika nchi hiyo imejiandaa vikali juu ya matumizi na usambazaji wa
dawa hizo haramu.
Chanzo:
BBC
No comments:
Post a Comment